KIMATAIFA MWANASHERIA WA KENYA MARTHA KARUA AZUIWA KUINGIA UGANDA - SHIRIKA LA MAWAKILI Jun 22, 2026 Wakili mkuu wa Kenya na Waziri wa Sheria wa zamani Martha Karua amezuiwa kuingia Uganda na kuamriwa kurejea nyumbani, kulingana na Chama c...
KIMATAIFA UKATILI UNAWEZA KUTOKEA HIVI KARIBUNI KATIKA JIJI LA EL OBEID, SUDAN Jun 19, 2026 Muungano wa zaidi ya nchi 20 umeonya kuhusu hatari inayoweza kutokea ya ukatili mkubwa nchini Sudan, ukisema kuwa hadi raia 500,000 wanawe...
KIMATAIFA TETEMEKO KUBWA UFILIPINO LAUA 37, MAELFU WAKIMBIA MAKAZI Jun 9, 2026 Zaidi ya watu 20,000 wamelazimika kuhama makazi yao kufuatia tetemeko kubwa lililotokea kusini mwa Ufilipino, ambalo pia limesababisha vif...
KIMATAIFA GACHAGUA KULIPWA FIDIA KSH MILION 50 SAWA NA BILION 1 YA KITANZANIA 6/09/2026 Mahakama Kuu ya Kenya imeidhinisha rasmi mchakato wa kung’olewa madarakani kwa aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua huku ikiamuru...
KIMATAIFA KARIM KHAN ASIMAMISHWA KAZI TUHUMA UTOVU WA MAADILI Jun 8, 2026 Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, Karim Khan amesimamishwa kazi kutokana na tuhuma za utovu wa m...
KIMATAIFA VYOMBO VYA HABARI VYA ISRAEL VYAMKOSOA TRUMP KWA KUMTAKA KUJIZUIA KUFANYA MASHAMBULIZI 6/08/2026 Vyombo vya habari vya Israel vimemkosoa Rais wa Marekani Donald Trump kwa kuitaka Israel kutofanya mashambulizi dhidi ya Iran, huku Israel...
KIMATAIFA GACHAGUA APATA PIGO HUKU MAHAKAMA KUU IKITUPILIA MBALI OMBI LA KUPINGA KUONDOLEWA KWAKE MADARAKANI 6/08/2026 Aliyekuwa Naibu Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua amepata pigo baada ya Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyowasilisha na kutoa uamuzi ...
KIMATAIFA POLISI ZIMBABWE WAONYA KUWA KUCHOCHEA VURUGU HAKUTAVUMILIWA Jun 4, 2026 Polisi nchini Zimbabwe wamewaonya wananchi dhidi ya kuchochea ghasia na vitisho kwenye mitandao ya kijamii huku mswada wa kuongeza muda wa...
KIMATAIFA WHO YAONYA MARUFUKU YA KUSAFIRI INAATHIRI UWEZO WA KUKABILIANA NA EBOLA 6/04/2026 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Tedros Ghebreyesus, ameonya dhidi ya kuwekwa kwa vikwazo vya jumla vya usafiri na b...
KIMATAIFA MAAMBUKIZI 282 YAREKODIWA YA EBOLA – DR CONGO Jun 1, 2026 Mamlaka katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo zimesema watu 19 wamepatikana na virusi vya Ebola hivi karibuni, na kufanya idadi ya walioa...
KIMATAIFA META YAZINDUA MIPANGO YA USAJILI WA KULIPIA KWA FACEBOOK, INSTAGRAM NA WHATSAPP May 29, 2026 Kampuni ya Meta imetangaza rasmi kuzindua mipango ya usajili wa kulipia kwa Facebook, Instagram na WhatsApp, hatua inayobadilisha kwa kias...
KIMATAIFA WANAFUNZI 16 WATEKETEA KWA MOTO NCHINI KENYA: TUNACHOJUA KUFIKIA SASA May 28, 2026 Takriban wanafunzi 16 wamethibitishwa kufariki dunia kufuatia moto ulioteketeza bweni katika Chuo cha Wasichana Utumishi kilichopo Gilgil,...
KIMATAIFA WANAFUNZI KADHAA WAHOFIWA KUFARIKI KATIKA MOTO WA BWENI LA SHULE GILGIL KENYA May 27, 2026 Ni picha ya awali ya tukio jingine lililofanyika mwaka jana Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya limesema limefika kwa tukio la moto ulioteke...
KIMATAIFA UGANDA YAKUBALI MPANGO WA MAREKANI WA KUWAWEKA WAMAREKANI KARANTINI KUFUATIA MLIPUKO WA EBOLA 5/27/2026 Uganda imethibitisha kuwa Marekani imeiomba nchi hiyo kuanzisha kituo maalumu cha kuwaweka karantini na kuwahudumia Wamarekani waliokumbana ...
KIMATAIFA WAISLAMU KOTE DUNIANI WANAADHIMISHA SHEREHE ZA EID AL-ADHA May 26, 2026 Waislam kote duniani wanasherehekea sherehe za Idd al-Adha, zinazofanyika wakati wa Hija inayofanyika kila mwaka mjini Mecca. Sherehe hiyo...
KIMATAIFA PAPA LEO XIV AOMBA MSAMAHA WA KIHISTORIA KUHUSU NAFASI YA VATICAN KATIKA UTUMWA 5/26/2026 Papa Pope Leo XIV ameomba msamaha wa kihistoria akikiri jukumu la Holy See katika kuhalalisha utumwa na kushindwa kuupinga kwa karne nying...
KIMATAIFA MAREKANI YASEMA IMEPIGA HATUA KATIKA MAZUNGUMZO NA IRAN May 22, 2026 Marco Rubio akizungumza na wanahabari Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani, Marco Rubio amesema kwamba anatumai ziara ya mkuu wa jeshi la...
KIMATAIFA RAIS RUTO WA KENYA APUNGUZA BEI YA MAFUTA YA DIZELI KWA SHILLINGI 10 5/22/2026 Rais William Ruto Rais wa Kenya William Ruto, ametangaza kupunguza bei ya mafuta ya dizeli kwa shillingi kumi zaidi, katika mabadiliko ya ...
KIMATAIFA WANANDOA WA UINGEREZA WALIOFUNGWA IRAN WAANZA KUSUSIA KULA GEREZANI May 20, 2026 Familia ya wanandoa wa Uingereza waliofungwa nchini Iran baada ya kushutumiwa kwa ujasusi imesema wawili hao wameanza kususia kula. Lindsa...
KIMATAIFA EBOLA HUENDA INAENEA KWA KASI ZAIDI KULIKO ILIVYODHANIWA AWALI. May 19, 2026 Mlipuko huo ulioanzia DR Congo, pia umeenea hadi nchi jirani ya Uganda Mlipuko wa Ebola ambao umesababisha vifo vya takriban watu 131 kati...