WAZIRI NDEJEMBI AMKATAA MSIMAMIZI MRADI WA UMEME KIGOMA May 10, 2026 • Ataka ukaguzi wa fedha za mradi zilizotumika Na Fadhili Abdallah,Kigoma Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi ameeleza kutoridhishwa ...
MBUNGE SHINGO AONGOZA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU UKONGA 5/10/2026 Na Matukio Daima Media Mbunge wa Jimbo la Ukonga kupitia Chama Cha Act Wazalendo Bakari Shingo leo ameongoza zoezi la uchangiaji damu lili...
MISAADA YAENDELEA KUWAFIKIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOVEMERO 5/10/2026 Na Matukio Daima, Mvomero Misaada ya chakula, magodoro na mahitaji mbalimbali ya kibinadamu imeendelea kuwafikia waathirika wa mafuriko kati...
TAWIRI WAENDESHA ZOEZI LA KUYAFUNGA MIKANDA YA VISUKUMA MAWIMBI MAKUNDI YA TEMBO KILOMBERO 5/10/2026 Na. Matukio Daima Media ,Kilombero, Morogoro. TAASISI ya Utafiti wa Wanyampori Tanzania (Tanzania Wildlife Research Institute- TAWIRI) imean...
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA NYUMBANI KWAKE 5/10/2026 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa C...
ALIYEKUWA KAMISHINA WA ADC NA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA IRINGA MJINI DAUD MASASI SASA KUGOMBEA UBUNGE ISIMANI KWA CHAUMA 5/10/2026 ALIYEKUWA kamishina wa chama cha ADC kanda ya nyanda za juu kusini na mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini uchaguzi mkuu 2025 Daud Issa Mas...
*DKT. MWIGULU AWASILI NCHINI KENYA 5/10/2026 *▪️Kumuwakilisha Rais Dkt. Samia mkutano wa ushirikiano wa Afrika na Ufaransa.* WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 10, 2026 amewasil...
WAKUU WA TAASISI ZA KILIMO WAJENGEWA UWEZO WA UONGOZI MOROGORO 5/10/2026 Matukio Daima,Morogoro WAKUU wa vyuo vya mafunzo ya kilimo, mifugo na uvuvi wanaoshiriki mafunzo mkoani Morogoro wanasema wamepata maarifa m...
WAZIRI NDEJEMBI- AWASILI NGARA KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI 5/10/2026 Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amewasili wilayani Ngara mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya...
*DKT. MWIGULU KUMUWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MKUTANO WA USHIRIKIANO AFRIKA NA UFARANSA, NCHINI KENYA* 5/10/2026 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 10, 2026 ameondoka nchini kuelekea Nairobi, Kenya ambako anatarajia kumuwakilisha Rais wa Jamhuri...
MTANDA ATOA RAI KWA WANANCHI KUSHIRIKIANA NA POLISI KUPAMBANA NA UHALIFU. 5/10/2026 NA CHAUSIKU SAID MATUKIO DAIMA MWANZA. MWANZA, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda. amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na Jeshi l...
*RAIS SAMIA AMEFANYA MAGEUZI MAKUBWA KATIKA MICHEZO - DKT. MWIGULU.* May 9, 2026 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amechochea kufanyika kwa mageuzi makubwa katika sekta ya ...