Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA NYUMBANI KWAKE

MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA NYUMBANI KWAKE


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mzee Yusuph Makamba katika makazi yake Tegeta Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Mei 2026.

 

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3