KIMATAIFA MWANASHERIA WA KENYA MARTHA KARUA AZUIWA KUINGIA UGANDA - SHIRIKA LA MAWAKILI Jun 22, 2026 Wakili mkuu wa Kenya na Waziri wa Sheria wa zamani Martha Karua amezuiwa kuingia Uganda na kuamriwa kurejea nyumbani, kulingana na Chama c...
KIMATAIFA UKATILI UNAWEZA KUTOKEA HIVI KARIBUNI KATIKA JIJI LA EL OBEID, SUDAN Jun 19, 2026 Muungano wa zaidi ya nchi 20 umeonya kuhusu hatari inayoweza kutokea ya ukatili mkubwa nchini Sudan, ukisema kuwa hadi raia 500,000 wanawe...
KIMATAIFA TETEMEKO KUBWA UFILIPINO LAUA 37, MAELFU WAKIMBIA MAKAZI Jun 9, 2026 Zaidi ya watu 20,000 wamelazimika kuhama makazi yao kufuatia tetemeko kubwa lililotokea kusini mwa Ufilipino, ambalo pia limesababisha vif...
KIMATAIFA GACHAGUA KULIPWA FIDIA KSH MILION 50 SAWA NA BILION 1 YA KITANZANIA 6/09/2026 Mahakama Kuu ya Kenya imeidhinisha rasmi mchakato wa kung’olewa madarakani kwa aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua huku ikiamuru...
KIMATAIFA KARIM KHAN ASIMAMISHWA KAZI TUHUMA UTOVU WA MAADILI Jun 8, 2026 Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, Karim Khan amesimamishwa kazi kutokana na tuhuma za utovu wa m...
KIMATAIFA VYOMBO VYA HABARI VYA ISRAEL VYAMKOSOA TRUMP KWA KUMTAKA KUJIZUIA KUFANYA MASHAMBULIZI 6/08/2026 Vyombo vya habari vya Israel vimemkosoa Rais wa Marekani Donald Trump kwa kuitaka Israel kutofanya mashambulizi dhidi ya Iran, huku Israel...
KIMATAIFA GACHAGUA APATA PIGO HUKU MAHAKAMA KUU IKITUPILIA MBALI OMBI LA KUPINGA KUONDOLEWA KWAKE MADARAKANI 6/08/2026 Aliyekuwa Naibu Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua amepata pigo baada ya Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyowasilisha na kutoa uamuzi ...