DC MPOGOLO ASALIMIANA NA KAMISHNA MKUU WA MAGEREZA MALAWI TCTA
Sep 3, 2026
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Edward Mpogolo, akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Malawi, Kamishna Milda Salilika, katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA), Ukonga jijini Dar es Salaam, leo Septemba 4, 2026, kwa ajili ya kushiriki Hafla ya Kufunga Mafunzo ya Kozi ya Uongozi Daraja la Kwanza (SGT No.1) ya mwaka 2026.

