Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
DC MPOGOLO ASALIMIANA NA KAMISHNA MKUU WA MAGEREZA MALAWI TCTA

DC MPOGOLO ASALIMIANA NA KAMISHNA MKUU WA MAGEREZA MALAWI TCTA


Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Edward Mpogolo, akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Malawi, Kamishna Milda Salilika, katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA), Ukonga jijini Dar es Salaam, leo Septemba 4, 2026, kwa ajili ya kushiriki Hafla ya Kufunga Mafunzo ya Kozi ya Uongozi Daraja la Kwanza (SGT No.1) ya mwaka 2026.


 

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3