KAMISHNA WA MAGEREZA MALAWI AWASILI TCTA KUSHIRIKI HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO
Sep 3, 2026
Kamishna wa Jeshi la Magereza nchini Malawi, Kamishna Milda Salilika, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA), Ukonga jijini Dar es Salaam, leo Septemba 4, 2026, kwa ajili ya kushiriki Hafla ya Kufunga Mafunzo ya Kozi ya Uongozi Daraja la Kwanza (SGT No.1) ya mwaka 2026.

