Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
 WASIRA AANZA ZIARA KILIMANJARO..

WASIRA AANZA ZIARA KILIMANJARO..

MOSHI.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduz Tanzania i Bara, Stephen Wasira amewasili mkoani Kilamanjaro kuanza ziara ya siku nne ambayo itatawaliwa na vikao vya ndani

Wasira ambaye amewasili kilimanjaro jana Juni 4,2026 anaanza ziara yake leo Juni 5,2026 ambapo aliwasili katika ofisi za CCM Mkoa saa 4:18 asubuhi na kuingia ndani kuanza kikao na wajumbe wa kamati za siasa Mkoa na Wilaya ya Moahi mjini.


Katika ziara hiyo kiongozi huyo atafanya vikao vya chama vya ndani ambapo anatarajiwa kukutana na viongozi mbalimbali kuanzia kwenye mashina, matawa, kata na wilaya katika wilaya za Moshi mjini, Rombo na Same


Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3