BARABARA ZASALIA TUPU NCHINI KENYA, SIKU YA PILI YA MAANDAMANO YAKUPINGA KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA
May 18, 2026
Barabara ya Waiyaki Way, mjini Nairobi
Usafiri wa umma nchini Kenya umeathirika kwa siku ya pili, mgomo wa kitaifa wa magari ya uchukuzi ukiendelea.
Barabara nyingi nchini Kenya, haswa mji wa Nairobi, zimesalia tupu, huku wasafiri kadhaa wakionekana kutembea kwa miguu kutokana na ukosefu wa magari.
Barabara zilivyosalia tupu mjini Nairobi kwa picha:
Picha ya barabara kuu ya Express Way