Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
NDEJEMBI AAPISHWA RASMI KUWA MAKAMU MPYA WA RAIS NCHINI TANZANIA

NDEJEMBI AAPISHWA RASMI KUWA MAKAMU MPYA WA RAIS NCHINI TANZANIA

 

Deogratius John Ndejembi,ameapishwa rasmi kuwa Makamu mpya wa rais nchini Tanzania, baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi.

"Usiwe samaki, mwanetu nenda ukakue, tumekupa majukumu makubwa na ni imani yangu utaweza" alisema Rais Samia Suluhu akimpongeza makamu huyo mpya.

Hafla hiyo ya uapisho imefanyika katika ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Ndejembi mwenye umri wa miaka 43, atakuwa Makamu wa rais wa 13 tangu Tanzania ipate uhuru, akiwa miongoni mwa Makamu wa rais vijana zaidi kuwahi kushika nafasi hiyo.

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3