Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
AFISA WA FIFA AFUTWA KAZI BAADA YA KUKOSOA MPANGO WA INFANTINO

AFISA WA FIFA AFUTWA KAZI BAADA YA KUKOSOA MPANGO WA INFANTINO

 

Alikuwa mmoja wa wakosoaji wakubwa wa mipango ambayo baadae ilifutiliwa mbali ya rais wa FIFA Gianni Infantino, ya kuuza hisa za Kombe la Dunia na michuano mingine kwa wawekezaji binafsi.

Katika taarifa, msemaji wa FIFA alithibitisha tu kwamba “ushirikiano wa kikazi kati ya FIFA na Kevin Lamour katika nafasi ya Afisa Mkuu wa Uendeshaji umekamilika tarehe 17 Agosti 2026.”

“FIFA inamshukuru Kevin kwa miaka yake miwili ya huduma na inamtakia kila la heri katika maisha yake ya baadaye.”

Mwezi uliopita, Bwana Lamour alisema kuwa mipango ya kuuzia wawekezaji binafsi hisa iliwahadaa wafanyakazi wa FIFA na kuutaja mradi huo kama "mradi wa mtu mmoja."

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3