*KUELEKEA KILELE CHA WIKI YA UTUMISHI KWA UMMA 2026*
Jun 23, 2026
*📌Wadau waendelea kuvutiwa na utekelezaji miradi ya REA*
📍Chinangali park - Dodoma
Wadau wa Sekta ya Nishati wameendelea kutembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika siku ya kilele cha Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi kwa Umma 2026
Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka
*Kauli mbiu "Kuchochea Uwajibikaji Jumuishi kwa Huduma Endelevu"*



