BREAKING NEWS:AJALI NYINGINE BASI LA CLASIC LAGONGANA NA LORI LATUMBUKIA KORONGONI.
May 10, 2026
Na Matukio Daima Media
Abiria kadhaa wanahofiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa na kukimbizwa Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Iringa baada ya basi la Clasic kutoka Zambia kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na lori .
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 12 asubuhi eneo la Kitwiru Manispaa ya Iringa na kupelekea basi hilo kutumbukia korongoni.
jitihada za kuokoa majeruhi ndani ya basi hilo lililotumbukia korongoni zinaendelea taarifa zaidi utaendelea kuzipata tembelea chanel ya Matukio Tv Daima kwa habari zaidi TAZAMA AJALI KUPITIA LINK HII





