Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
MAKAMU WA RAIS MHE NDEJEMBI AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR NA MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT SHEIN

MAKAMU WA RAIS MHE NDEJEMBI AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR NA MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT SHEIN


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, katika makazi yake Kibele, Mkoa wa Kusini Unguja, leo tarehe 02 Septemba 2026.


 

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3