Home › Uncategories › MATUKIO KATIKA PICHA: WANANCHI ISIMANI WAKIWA KATIKA MSTARI TAYARI KWA WINGI KUPIGA KURA
Wakazi wa Migori Jimbo la Isimani mkoani Iringa wakiwa katika mstari kwa ajili ya kuingia kwenye kituo cha kupiga kura kumpata Mbunge wa Jimbo la Isimani katika Uchaguzi Mdogo leo tarehe 01 Juni 2026.