Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
SMAUJATA WAFUNDWA KUHUSU USTAARABU NA ITIFAKI

SMAUJATA WAFUNDWA KUHUSU USTAARABU NA ITIFAKI

 

Taasisi ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania SMAUJATA Wamepatiwa mafunzo ya Protocol and Etiquette ( Ustarabu na Itifaki za Viongozi) Maadili na Uzalendo kwa watumishi ili waboreshe utendaji kazi wao.

Katika kuhakikisha  taasisi  zinajengewa uwezo wa kiimadili katika kazi Mtaalamu wa Kidiplomasia, Uongozi na maadili ndugu Omary Abdull Punzi amewelekeza  na kuwakumbusha taasisi ya SMAUJATA  katika mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi hiyo kuanzia tarehe Februari 7 hadi 8 mwaka huu katika Ukumbi wa Chuo Cha VETA Keko Dar es Salaam.

Mafunzo hayo yaliyofunguliwa na ndugu Salehe Omary Kaimu Mkuu wa Chuo cha VETA  akimwakilisha mkuu wa chuo hiko na kufungwa na Fredrick Nelson Rwegasira - Makamu Mwenyekiti   SMAUJATA 

Aidh mafunzo hayo yalijikita katika 

Itifaki na Ustarabu wa Viongozi sambamba na maadili.




Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3