AJALI MOROGORO Feb 1, 2026 Na Matukio Daima, Morogoro AJALI imetokea usiku wa leo katika eneo la Nanenane manispaa ya Morogoro, barabara kuu ya Morogoro -Dar ambapo dereva wa gari ndogo ya IT iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nje ya nchi amefariki Dunia baada ya gari kugongana na gari Lori la mafuta.