Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
MATOEO YA KURA ZA MAONI ISIMANI FREDY VUNJABEI APATA KURA 2,703

MATOEO YA KURA ZA MAONI ISIMANI FREDY VUNJABEI APATA KURA 2,703


TAZAMA FULL VIDEO YA MATOKEO BOFYA LINK HII
Na Matukio Daima Media 

Matokeo ya kura za maoni ndani ya chama chama cha Mapinduzi (CCM) yametangazwa rasmi na msimamizi wa uchaguzi huo mdogo ndani ya CCM Sule Masanguti,kuwa  aliyeongoza ni  Fredy Fabian Ngajiro maarufu kama Vunjabei .

 Vunjabei ameibuka kinara kwa jumla ya kura 2,703, akifuatiwa  Festo Shemu Kiswaga akipata kura 868,huku  Emmanuela Kaganda Mtatifikolo akipata kura 682 na Arif Abri kura 233.

Wakati Dkt Abdalah Lusasi kura 100,Claudia Francis (69), Asakwe Widambe (58) Elias Kazikuboma (52), Eng Sebastian Kiyoyo( 37) , Josephat Masambwa (34), David Komba( 27), Tedson Ngwale (24), Egidy Mkolwe (23),Watende Kiyagi (16) , Dkt Tumain Msowoya ( 15), Lazaro Francis Gwira(10), Thitho Cholobi (9), na Thobias Mwilapwa(5). 

Matokeo hayo yanaonyesha ushindani mkubwa uliokuwepo katika mchakato huo wa kura za maoni, huku wagombea zaidi ya 15 wakishiriki kuwania nafasi hiyo. 


Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3