DAKTARI BINGWA ALIYEKUWA AKIKATALIWA NDOA HADI KUITWA MCHAWI, SASA KAJIPATA!
Naitwa Amos, ni mwanamume mwenye taaluma yangu ya
udaktari na nimefanikiwa sana kimaisha. Nina nyumba yangu, nina gari na kila
kitu kinachoashiria maisha bora. Lakini pamoja na mafanikio hayo, nilikuwa na
siri moja ya aibu ambayo ilikuwa inanimaliza nguvu; nilikuwa siwezi kudumu na
mwanamke.
Kila nikianzisha mahusiano na mwanamke, hata kama
ni mcha Mungu kiasi gani, tukifikia hatua ya kuzungumzia ndoa, mambo
yanaharibika ghafla.
Kwa zaidi ya miaka tisa, nimeishi maisha ya
upweke huku nikijaribu kila njia. Nilishajaribu kuwaposa wanawake watano
tofauti, lakini kila mmoja wao alikuwa akighairi dakika za mwisho kabisa kabla
ya harusi.
Wengine walikuwa wanatoweka na kwenda kuolewa na
wanaume ambao hawana hata robo ya mafanikio yangu. Hali hii ilinifanya nianze kuitwa
"mchawi" na watu wa karibu wakiamini kuwa labda natoa kafara wake
zangu kwa ajili ya mali, jambo ambalo lilikuwa ni uongo uliopitiliza.
Nilihisi moyo wangu umepondeka. Nilianza kuogopa
hata kutongoza kwa sababu nilihisi nina nuksi ya ajabu inayowafukuza wanawake.
Nilienda kwa waganga wengi wa kienyeji nchini Tanzania, wakaniambia nioshwe na
maji ya bahari, nikafanya hivyo lakini hali haikubadilika. Nilihisi kama kuna
ukuta nene uliowekwa kati yangu na furaha ya familia.
Upweke ulinifanya niwe mtu wa hasira na kuanza
kuchukia kazi yangu, kwani sikuwa naona thamani ya kutibu watu wakati mimi
mwenyewe nina kidonda cha moyo kisichopona.
Siku moja nikiwa kwenye kongamano la madaktari,
nilikutana na mwenzangu mmoja ambaye zamani alikuwa na matatizo kama yangu.
Alinieleza siri yake bila kificho; aliniambia kuhusu mtaalam mmoja wa tiba
asilia anayeitwa Kipemba Doctors kutoka Kisumu Town, Kenya. Aliniambia kuwa
huyu mtaalam ana uwezo wa kipekee wa kusafisha nyota na kufungua vifungo vya
ndoa vilivyopigwa kufuli na mahasidi.
Bila kupoteza muda, nilichukua namba yake ya simu
ambayo ni +254 708 798256 na kuamua kuwasiliana naye. Kipemba Doctors
alinipokea kwa ukarimu na kunifanyia utambuzi wa kina kupitia simu. Aliniambia
kuwa kuna mwanamke niliyekuwa naye zamani chuo kikuu alikuwa amefunga nyota
yangu kwa kutumia mchanga wa nyayo zangu ili nishindwe kuoa mwanamke mwingine
yeyote milele.
Kipemba Doctors alinifanyia tiba ya kufungua
milango na kusafisha nyota yangu kwa kutumia mitishamba yenye nguvu.
Alinihakikishia kuwa mke wangu hatatoka mbali na nitaonana naye katika
mazingira ya kazi yangu.
Siku kumi na tano baada ya tiba hiyo, nilikuwa
zamu hospitalini ndipo nikakutana na mwanamke mmoja anaitwa Sarah, ambaye
alikuwa amemleta mama yake mgonjwa.
Tangu siku ya kwanza nikutane na Sarah, nilihisi
kuna kitu tofauti. Tulianza kuzungumza na urafiki wetu ukakua haraka. Tofauti
na wanawake wengine, Sarah alikuwa na utulivu wa ajabu na alionyesha
kunithamini sana. Tulioana baada ya miezi saba ya uchumba, na harusi yetu ilikuwa
ya kihistoria.
Leo hii mimi na Sarah tunaishi kwa furaha tele,
tuna watoto wawili na maisha yetu ni ya neema tupu. Namshukuru sana Kipemba
Doctors kwa kunifungulia kifungo kilichokuwa kimenitesa kwa miaka tisa na
kunirudishia heshima yangu.
