Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
NAMILIKI GARI LA KIFAHARI NA GHOROFA LANGU KISA NYOTA YANGU

NAMILIKI GARI LA KIFAHARI NA GHOROFA LANGU KISA NYOTA YANGU

 


Naitwa Kelvin, mkazi wa zamani wa maeneo ya Posta, jijini Dar es Salaam. Kwa zaidi ya miaka minane, nilikuwa nikijishughulisha na ufundi wa simu na kuuza vifaa vidogo vidogo pembezoni mwa barabara. Licha ya kuwa na utaalamu wa hali ya juu wa kutengeneza simu za kisasa, maisha yangu yalikuwa ni dhoruba tupu.

Nilikuwa nafika kazini asubuhi na mapema, lakini jua lilikuwa linazama bila mteja hata mmoja kuingiza simu kwangu. Nilikuwa naishia kushindia maji ili kuficha njaa, huku nikiona wenzangu wakipata dili za maana.

Hali hii ilinifanya nianze kujichukia na kujiona kama mwanaume aliyelaaniwa. Kila nikijaribu kuweka akiba ili nikuze biashara yangu, dharura za ajabu zilikuwa zinatokea na kuitafuna ile pesa yote.

Nilihisi kuna ukuta wa chuma uliozuia riziki zangu usoni, na dharau kutoka kwa marafiki zilikuwa zikinitesa kila uchao. Nilifikia hatua ya kuwaza kuwa labda umaskini ndio vazi langu la kudumu maishani.

Siku moja nikiwa nimekaa kwa unyonge kwenye kijiwe changu cha kawaida cha kahawa, nilimsikia mzee mmoja akisimulia jinsi mwanaye alivyokuwa anahangaika hadi alipopata msaada kwa mtaalamu mmoja shupavu anayeitwa Kipemba Doctors kutoka Kisumu Town, Kenya.

Alisema, "Kipemba Doctors ni bingwa wa kukagua nyota; anakuelekeza wapi hasa Mungu ameweka funguo zako za utajiri ili usipoteze muda mahali pasipo pako."

Bila kupoteza sekunde, niliichukua namba ya mtaalamu huyo ambayo ni +254 708 798256. Nilimtafuta Kipemba Doctors kwa njia ya simu na kumlilia shida zangu zote. Baada ya kufanya ukaguzi wa kina wa nyota yangu, aliniambia maneno yaliyonishtua: "Kelvin, unalazimisha kutafuta riziki Dar es Salaam wakati nyota yako inang'aa jijini Dodoma.

Nenda huko, na huko ndiko utakapomiliki biashara yako ya simu kwa mafanikio makubwa."

Alinisafisha nyota yangu na kuniondolea vifungo vyote vya kijicho vilivyokuwa vimenifunika. Kwa imani ya dhati, niliuza baadhi ya vifaa vyangu na kukata tiketi ya kuelekea Dodoma.

Nilianza na kijiduka kidogo sana maeneo ya katikati ya jiji. Ajabu ni kwamba, ndani ya miezi mitatu tu, kila mteja jijini hapo alikuwa anataka huduma yangu.

Leo hii, mimi ni mmoja wa wamiliki wa mnyororo wa maduka ya simu na vifaa vya kielektroniki jijini Dodoma, namiliki gari la kifahari na nimejenga ghorofa langu la kwanza. Namshukuru sana Kipemba Doctors kwa kunielekeza kwenye "ardhi ya ahadi" ambapo nyota yangu ilikuwa inasubiri kung'ara.

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3